
Gospel John 2:1-11
Jesus Changes Water Into Wine
1 On the third day a wedding took place at Cana in Galilee. Jesus’ mother was there, 2 and Jesus and his disciples had also been invited to the wedding. 3 When the wine was gone, Jesus’ mother said to him, “They have no more wine.” 4 “Woman, why do you involve me?” Jesus replied. “My hour has not yet come.” 5 His mother said to the servants, “Do whatever he tells you.” 6 Nearby stood six stone water jars, the kind used by the Jews for ceremonial washing, each holding from twenty to thirty gallons. 7 Jesus said to the servants, “Fill the jars with water”; so they filled them to the brim. 8 Then he told them, “Now draw some out and take it to the master of the banquet. ”They did so, 9 and the master of the banquet tasted the water that had been turned into wine. He did not realize where it had come from, though the servants who had drawn the water knew. Then he called the bridegroom aside 10 and said, “Everyone brings out the choice wine first and then the cheaper wine after the guests have had too much to drink; but you have saved the best till now.” 11 What Jesus did here in Cana of Galilee was the first of the signs through which he revealed his glory; and his disciples believed in him.
Oct 30, 2020
38 min

Daily Reading for Thursday April 9, 2020
Reading 1, Exodus 12:1-8, 11-14
Responsorial Psalm, Psalms 116:12-13, 15-16, 17-18
Gospel, John 13:1-15
Reading 2, First Corinthians 11:23-26
Apr 9, 2020
51 min

Daily Readings
April 6th, 2020
Reading 1, Isaiah 42:1-7
Responsorial Psalm, Psalms 27:1, 2, 3, 13-14
Gospel, John 12:1-11
Apr 6, 2020
20 min

Daily Reading for Friday April 3, 2020
Reading 1, Jeremiah 20:10-13
Responsorial Psalm, Psalms 18:2-3, 3-4, 5-6, 7
Gospel, John 10:31-42
Apr 2, 2020
29 min

Daily Reading for Thursday April 2, 2020
Reading 1, Genesis 17:3-9
Responsorial Psalm, Psalms 105:4-5, 6-7, 8-9
Gospel, John 8:51-59
Apr 2, 2020
24 min

Daily Reading for Wednesday April 1, 2020
Reading 1, Daniel 3:14-20, 91-92, 95
Responsorial Psalm, Daniel 3:52, 53, 54, 55, 56
Gospel, John 8:31-42
Apr 1, 2020
30 min

Daily Reading for Tuesday March 31, 2020
Reading 1, Numbers 21:4-9
Responsorial Psalm, Psalms 102:2-3, 16-18, 19-21
Gospel, John 8:21-30
Mar 31, 2020
18 min

Daily Reading for Monday March 30, 2020
Reading 1, Daniel 13:1-9, 15-17, 19-30, 33-62
Responsorial Psalm, Psalms 23:1-3, 3-4, 5, 6
Gospel, John 8:1-11
Mar 29, 2020
27 min

MASOMO YA MISA, MARCHI 29, 2020
DOMINIKA YA 5 YA KWARESIMA
MWANZO:
Zab. 43:1 – 2
Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, uniokoe na mtu wa hila asiye haki. Kwa kuwa wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu.
SOMO 1
Eze. 37:12 – 14
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 130 (K) 7
SOMO 2
Rum. 8:8 – 11
SHANGILIO
Yn. 11:25, 26
Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima, asema Bwana; Yeye aniaminiye mimi, hatakufa kabisa hata milele.
INJILI
Yn. 11:1 – 45
Mar 28, 2020
41 min

MASOMO YA MISA, MACHI 28, 2020
JUMAMOSI: JUMA LA 4 LA KWARESIMA
SOMO 1
Yer. 11:18-20
Bwana akanijulisha haya, nami nikayajua; ndipo uliponionyesha matendo yao. Lakini mimi nalikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.
Lakini, Ee Bwana wa majeshi, uhukumuye haki ujaribuye viuno na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.
Neno la Bwana… Tumshukuru Bwana.
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 7:1-2, 8-12 (K) 1
(K) Bwana, Mungu wangu, nimekukimbilia Wewe.
Bwana, Mungu wangu, nimekukimbilia Wewe,
Uniokoe na wote wanaonifuatia, uniponye.
Asije akaipapura nafsi yangu kama samba,
Akiivunja-vunja pasipokuwa na wa kuponya. (K)
Bwana, unihukumu mimi,
Kwa kadiri ya haki yangu,
Sawasawa na unyofu nilio nao.
Ubaya wao wasio haki na ukome,
Lakini umthibitishe mwenye haki. (K)
Ngao yangu ina Mungu,
Awaokoaye wanyofu wa moyo.
Mungu ni mwamuzi mwenye haki,
Naam, Mungu aghadhibikaye kila siku. (K)
SHANGILIO
Lk. 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako.
INJILI
Yn. 7:40-52
Wengine katika mkutano walipoyasikia maneno ya Yesu, walisema, Hakika huyu ndiye nabii yule. Wengine walisema, Huyu ndiye Kristo. Wengine wakasema, Je! Kristo atoka Galilaya? Andiko halikusema ya kwamba Kristo atoka katika uzao wa Daudi, na kutoka Bethlehemu, mji ule alioukaa Daudi? Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake. Baadhi yao wakataka kumkamata, alkini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.
Basi wale watumishi wakawaendea wakuu wa makuhani na Mafarisayo. Nao wakawaambia, Mbona hamkumleta? Wale watumishi wakajibu, Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena. Basi Mafarisayo wakawajibu, Je! Ninyi nanyi mmedanganyika? Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo? Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.
Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao), Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo? Wakajibu, wakamwambia, Je! Wewe nawe umetoka Galilaya! Tafuta, ukaone ya kuwa kutoka Galilaya hakutokea nabii.
Neno la Bwana… Sifa kwako Ee Kristo.
Mar 28, 2020
22 min
Load more
