Show notes
Send us Fan Mail Katika somo hili utajifunza mambo 6 yanayoweza kuharibu urafiki wako na Roho Mtakatifu, na jinsi ya kuyaepuka ili uendelee kuwa na maisha ya kiroho yenye nguvu na ushirika wa karibu na Mungu. Maandiko yanatuonya: "Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu." Waefeso



