Donrugi
Donrugi
Donrugi
Naitwa Donrugi. Karibu kwenye podcast yangu tujifunze mambo mbali mbali ya kimtandao na habari mbali mbali za kimaisha.
IJUE HISTORIA YA SIKU YA WAPENDANAO
Feb 14, 2022
1 min
SPECIAL DAYS
Special days
Feb 14, 2022
34 sec
MAPENZI NIACHE; SEHEMU YA KWANZA
Fatilia kisa hiki cha mapenzi niache kuanzia mwanzo mpaka mwisho. MAPENZI NIACHE by ADONIA DAMAS @donrugi
Mar 18, 2021
7 min
PUMZIKA KWA AMAN DK JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI
Napenda kutoa pole kwa watanzania wote kwa kuondokewa na Rais wetu mpendwa doctor John pombe joseph magufuri, ambaye amepoteza maisha kwa ugonjwa wa moyo kama ilivyo tangazwa na makamu wake wa urais mh samia suruhu. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi AMEN 🙏🏾
Mar 18, 2021
57 sec
BAADHI YA MAMBO TUTAKAYO ENDA KUJIFUNZA KUHUSU YOUTUBE
Haya ni baadhi ya mambo tutakayo anzana nayo kilijifunza.
Mar 14, 2021
1 min
Donrugi (Trailer)
Mar 14, 2021
20 sec
JE? UNAHITAJI KUIJUA YOUTUBE NA NAMNA YA KUWEKA KAZI ZAKO KWENYE DIGITAL PLATFORM ZOTE HII INAKUHUSU
Kaka wewe ni miongoni mwa watu wenye uhitaji wa kuifahamu vizuri youtube kwa undani. Na namna ya kuweka nyimbo kwenye iTunes ( Spotify, Amazon music, Apple Music, deezer na digital platform zote) basi hii inakuhusu. HAUTAKIWI KUKOSA. YouTube tutaenda kujifunza mambo kama haya...... Mfano wa mambo yanayo husu youtube ni pamoja na Haya yafuatayo * Historia fupi kuhusu uanzishwaji wa youtube * YouTube inafanyaje kazi na inamuingiziaje mmiliki wa channel hela * Ushauri jinsi ya kuikuza haraka channel * Utofauti wa YouTube tab ya Tanzania na nchi zingine. * Jinsi ya kuangalia nyimbo zilizo trend kila nchi kupitia youtube * Kuhusu baadhi ya watu kusemekana kuwa wananunua viewers na subscribers * Kwanini baadhi ya wasanii viewers zinakuwa zinapungua au kutokuongezeka * Kwanini baadhi ya channel zinafutwa au kufungiwa kwa muda kama channel ya Ibraah. * Namna nzuri ya kupromote video yako ya YouTube ili kuwafikia wengi na kupata viewers wengi wa uhalali. * Aina ya maudhui ambayo hayafai kuyaweka YouTube ili channel yako iwezeshwe kuruhusiwa kuingiza hela. * Ushauri kwa watu wanao anza kuitumia youtube kama biashara.
Mar 14, 2021
3 min