
Asilimia kubwa ya maisha yetu yapotunayojifunza kupitia maisha yetu binafsi lakini kupitia maisha ya watu wanaotuzunguka kwa yale walioyapitia.
Mezani kwetu leo tumepiga stori na Marthin Kimanga ambae ameshuhudi namna alivyokuwa jambazi na kufanya matukio makubwa ya ujambazi na namna alivyojiingiza kwenye ushirikina ili kijilinda kwenye matukio waliyokuwa wanayafanya.
Karibu kusikiliza na tujifunze.
Mar 1, 2023
47 min

Kuelekea siku ya wapendanao mezani kwetu tumepiga stori za mahusiano na Dada Sauda.
Feb 14, 2023
45 min

Watu wengi wanafanya mazoezi lakini hawaoni matokeo kwa wakati sahihi, mezani leo tunachambua na kupiga stori juu ya namna nzuri ya kufanya mazoezi.
Feb 6, 2023
32 min

Kwenye episode yetu hii tumeweza kuzungumza namna ambavyo mtu anaweza kuanza mazoezi kwa usahihi na kuyafurahia mazoezi.
Jan 29, 2023
20 min
