TCRA Tanzania
TCRA Tanzania
TCRA Tanzania
Kanuni Mpya za Usajili wa Laini za Simu, 2023
30 minutes Posted Aug 17, 2023 at 12:54 pm.
0:00
30:46
Download MP3
Show notes

Yapi mabadiliko ya kanuni hizi?, Vipi vitu muhimu vya kuzingatia?, Upi utaratibu wa Usajili wa laini za simu kwa watoto? Je mtu anapofarika utaratibu upi hufuatwa?

Haya na mengine mengi yameongelewa kwenye kipindi maalum kinacho angazia Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta Kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023.


#ElimukwaUmma

#MawasilianoKwaMaendeleo

#tcrapodcast