
Katika pita pita Zetu kwenye mitandao ya kijamii Tumekutana na mjadara mzito kwenye moja ya page , ikiweza kusemea msanii ibraah kutoka konde gang, kuwa sio lazima saana kujibu kila maswali ambayo maybe anakuwa akihulizwa na waandishi au broga mbali mbali ,
Ishu imekuwa kwanza kijana amekuwa very flexible na ananyoosha saana mahelezo kwenye kujibu, na uzuri au ubaya hata akihulizwa maswali ambayo yanalenga upande wa pili ambapo kuna ushindani wake wa mziki yeye unyoosha either kwa kusifia au kwa kutolea ufafanuzi
Kupitia ilo tukaona je hii imekaaje kwenye ishu nzima ya msanii kama brand na kama bidhaa, je inamwalibia au, inamtengenezea njia nzuri ya kueleweka kwa mashabiki,
Hapa tunakupa faida na vijihasara ambavyo msanii anaweza kuvipata kupitia kujibu kila maswali kwenye interview.
Jun 17, 2021
23 min

Karibu tena kwenye episode nyingine ya NMU PODCAST, Kutana na mwanzirishi wa NMU PODCAST Mr Antidius martine)
Kila Mwanadamu kuna vitu anapenda katika maisha, wapo wanaopenda mziki, Movies , Mpira na mengine mengi, kwa Ujumla yote hayo tunayaweka kwanye kipengere cha lifestyle, Wengi wanasema namna ya kuishi au staili au mtindo wa maisha, jambo ambalo utofautiana kuringana na mtu husika kwenye maisha yake.
Kwenye Episode hii kutana na ANTIDIUS MARTINE ambaye kwa upnde wake anapenda sana kuangalia mazingira (adventure), kudurusu vitu vipya na kujifunza , kwenye episide hii ameshare nasi EXPERIENCE YAKE JUU YA SAFARI ALIYOIFANYA KWENDA SEHEMU MOJA WILAYA YA KISARAWE inayoitwa PUGU KAZIMZUMBWI.
Kupitia episode hii utaweza kujua mambo mengi ambayo yanapatikana Wlaya ya KISARAWE sehemu ya Ifadhi ya misitu lakini pia sehemu ya UTARII ambayo ata yeye alikuwa suprised saana kuikuta KISARAWE.
Miasha yana maajabu sana na katika maajabu hayo, maajabu mengine yanaweza kuliletea faida Nchi Husika, Nini sasa kinachopatikana Kisarawe kama maajabu? ........ Ungana na Mr Antidius Martine kwenye episode hii, MY KISARAWE EXPERIENCE upate kuyajua mengi yapatikanayo KISARAWE PUGU KAZI MZUMBWI NATURE RESERVE.
šMusic background by STEKA. Podcaster Antidius Martine
Episode sponsored by ANT-EFRA DESIGN AND STYLISH.
Apr 14, 2021
21 min

karibu kusikiliza episode hii mpya ambayo nmu podcast tumekuandalia, Kwenye episode hii tumezungumzia, maana ya E.P kwa undani zaidi, Pia tumeenda mbali na kuonesha E.p inatakiwa kuwa na Miziki Mingapi na inatakiwa kuwa na dakika ngapi, Pia tumegusia jinsi ambavyo Platform mbalimbali za dunia uchukulia E.P pale msanii Anpoachia E.p.
Achilia mbali maan alisi ya E.P Tumeongela faida ambazo msanii anapata pale akiachia kazi zake katika mfumo wa E.P, Pia tumegusia Jinsi E.p Inavyofanya vizuri katika mahuzo ukilinganisha na album yenyewe, Swala la muda katika kuandaa E.P limeongelea kama sehemu ya faida pia swala la kupata content nyingi pale unapoachia E.p limeguswa kwa njia ya pekee.
kwa mengi ambayo ungependa kuyafahamu tegea sikio hii episode yetu ambayo tumekuandalia msikilizaji wetu, karibu.
Apr 7, 2021
20 min

Karibu tena kwenye episode nyingine ya NMU PODCAST kwenye episode hii tumeongelea, kwanini wanamuziki wengi upendelea kuachia nyimbo au kazi zao za mziki siku ya Ijumaa, Je Kunafaida inapelekea wafanye hivi? je ni kwamba Ijumaa hipo na bless Nyingi Kwa wasaniii, Je Yawezekana Mashabiki ndo upendelea hii siku au ni utaratibu umetokea tu, Vipi Hii kidunia imekaaje na wanaizungumziaja, kwa haya na mengine mengi sikiliza hii episode yetu mpya.
Tupate mtandaoni instagram. https://www.instagram.com/nextmusicuniverse/
Karibu Tuungane na Tujadiri kwa pamoja.
Feb 27, 2021
13 min

Kwenye Episode hii tumeongelea kwanini audio ndo utangulia kabla ya Video pale ambapo msanii anataka kuachia kazi, mala nyingi saana waga tunaona audio ndo inatangulia sana kwenye platform nyingi za mziki, kuyajua haya yote ungana nasi kwenye episode hii.
Feb 26, 2021
11 min

Karibu tena kwenye episode nyingine, kwenye episode hii tumeongelea namna ambavyo watu mbalimbali utumia muda wao kufurahia na kushrekea siku ya Valentine, Tumezoea na tumekuwa tukisikia kuwa Valentine day ni siku ya wapendanao...!!! je ni kwanmna gani wanashrekea Mwezi huu wa pili siku ya Tarehe 14 ......? majibu yote tumekuwekea kwenye Episode hii ya leo. Karibu kusikiliza
Feb 6, 2021
24 min

Tunakukaribisha kwenye platform yetu hii ya NMU PODCAST na huu ni msimu mpya wa 2021 ambao utakuwa na mambo mengi mazuri na makubwa ambayo utaenjoy kutusikiliza na kutufatilia . karibu NMU PODCAST.
Feb 3, 2021
11 min

Karibu Kwnye final session ya The power of Music Beyond Entertainment, Imekuwa wakati mzuri na session bora na wanafamilia ya nmu podcast, kwenye hii episode ya mwisho tumekusogezea mambo mengi ambayo mziki umekuwa na nafasi kubwa ya ushawishi na kuweza kuleta majibu postive kabisa .
kwenye hii session tumezungumzia mziki ambavyo umetumika kupigania HAKI na kuleta majibu chanya, hapa utasikia namna ambavyo baadhi ya wasanii wamekuwepo kuwa chombo cha kusemea kwa wanyonge na wananchi ambao hawana nafasi kubwa ya kupaza sauti, kwakutumia huu mziki na wasanii wake.
Pia utasikia Jinsi mwalimu Juliusi Kambarage Nyerere ambavyo pia ameutumia huu Mziki kupenyeza siasa na kuweza kuwashinda wacoroni kwa kutumia majukwaa ya mziki, kwa kumtumia Bibi mmoja ambaye anaitwa BIBI TITI , Hapa ndo utajua ni kwa namna gani ambavyo mziki umekuwepo toka zamani na kuweza kuwezesha mambo mengi kuweza kufanikiwa .
Mbali na haya pia utapata kujua baadhi ya Quotes mbali mbali za watu mashuhuri kuhusu mziki na namna mziki umeweka harama kwnye jamii.
Kwa haya na mengine mengi hembu tusikilize na tufatilie kwenye Podcast Stores zote na kuweza kuwa mwanafamilia wa NMU PODCAST.
Oct 31, 2020
36 min

Karibu Nmu Podcast Tuendelee na Topiki Yetu kama session nyingine zilizopita zimekuwa nawe zikikupasha juu ya Nguvu ya mziki, Karibu tusikilize hapa Jinsi mziki Umekuwa sehemu Kubwa sana ya kukuza utamaduni na kusambaza tamaduni za mataifa mbalimbali Karibu.
Oct 19, 2020
14 min
Load more
