Jua Haki Zako
Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Changamoto za wachimba madini ya dhahabu nchini Kenya
Mchakato wa kupata madini ya dhahabu huwa ni ngumu sana. Wengi ambao wanajihusisha na kazi hii wanapitia changamoto nyingi ikiwemo kutotumia vifaa bora vya kujikinga, kazi nzito na hatimaye huenda hata kuangamia iwapo maporomoko ya ardhi yanapotokea. George Ajowi amezuru Kaunti ya Migori, Magharibi mwa  nchi ya Kenya. Ameandaa ripoti ifuatayo.
Aug 17, 2023
9 min
Uhalifu wa kivita unafanyika Sudan : Amnesty International
Shirika la kimataifa la ketetea haki za binadamu Amnesty International  katika repoti yake ya hivi punde limesema pande hasimu nchini Sudan, zinatekeleza uhalifu wa kivita na kutaka jamii ya kimataifa kuingilia kati kunusuru hali.
Aug 9, 2023
10 min
Jamii za mipakani taabani kupata vitambulisho
Kinyume na jamii nyingine nchini Kenya kundelea kupata vitambulisho bila vikwazo, jamii zinazoishi mikapani nchini humo zinaendelea kupitia changamoto za kupata vitambulisho, wengi wakilazimika kufanyiwa ukaguzi kabla ya kupewa stakabadhi hiyo muhimu.
Jul 31, 2023
9 min
Kenya: Polisi watumia nguvu kupita kiasi
Mashirika kadhaa ya kirai nchini yametuhumu polisi kwa kumia nguvu kupita kaisi kuwakabili wandamanaji wa upinzani wambao wamekuwa wakishiriki maandamano kutaka serikali kushughulikia kupanda kwa gharama ya maisha.
Jul 28, 2023
9 min
Je wanawake wanatetea haki zao?
Katika makala haya tunajadili dhana kuwa wanawake hawapo mstari wa mbele kupigania haki zao, ambapo utaskia kauli ya Allan Ngare kutoka Human Right Watch anayekanusha vikali dhana hiyo, pia utaskia kutoka kwa mratibu wa kina dada wanaotumia miili yao kupata riziki bi Felister Abdalla anayesema wakati umewadia jamii kuwakumbatia.
Jul 26, 2023
10 min
Hali ya kibinadamu  katika mataifa ya Kenya,Burundi na DRC
katika makala haya tunaangazia hali ya Kinadamu ilivyo katika mataifa ya Kenya, Burundi na DRC, hii ni baada ya masharika kadhaa ya kutetea haki za binadamu kungazia hali ilivyo katika mataifa hayo.
Jul 11, 2023
9 min
Haki ya kupata habari za kweli na kuaminika
Taasisi ya Bazara Media Lab nchini Kenya imezindua mpango unalenga kutambua habari za kzeli na uongo, tasisi hi ikisema wamechochewa kuja na mpango huo kutokana na kuongezeka kwa habari ghushi katika mitandao ya kijamii.
Jul 6, 2023
10 min
Watoto wanyanyaswa kigongo nchini DRC
Bunge la watoto wilayani Masisi Mashariki mwa DRC, linashutumu unyanyasaji unaofanyiwa watoto kwa kuhusishwa katika biashara ya ngono.
Jul 5, 2023
9 min
DRC yatunga sheria kudhibiti kiwango cha mahari
Nchini DRC wabunge wametunga sheria kudhibiti kiwango cha mahari kinachostahili kutolewa, hii ni baada ya wanaume wingi kudaiwa kususia ndoa kutokana na kiwango cha juu cha mahari kinachoitishwa na familia ya wasichana.
Jun 20, 2023
9 min
Matumizi ya nguvu kupitia kiasi na polisi wakati wa maandamano
Mashirika ya kutetea haki za binadamu Human Right Watch na Amnesty International, yametuhumu polisi  nchini Kenya kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi wakati wa kuwakabili wandamanaji wakati wa maandamano yaliokuwa yameitishwa na upinzani mwezi Machi.
Jun 16, 2023
9 min
Load more