99.9 GHETTO FM
99.9 GHETTO FM
GHETTO FM
CHAMUKO LA GHETTO FM MIDA YA SAA 1 USIKU TAREHE 2 MWEZI WA NOVEMBA
14 minutes Posted Nov 2, 2021 at 3:53 pm.
0:00
14:09
Download MP3
Show notes

Tume ya CRA imetoa ugavi wa raslimali kati ya serikali kuu na magatuzi.Hata hivo serikali za kaunti zimepata mgao wa bilioni 370 za mwaka wa kifedha 2022/2023.Haya yanajiri baada ya magavana na maseneta kutoa malalamishi kuwa kuwa kiasi hicho cha pesa ni kidogo kulingana na mipangilio yao ya kaunti.