Show notes
Swala la msongamano wa magari mjini Nairobi limeonekana kuwa kero kwa wakaazi wa Nairobi wengi wakinyoshea serikali kidole cha lawama kwa kuchukua muda mwingi kukamilisha shughuli ya ujenzi wa barabara kuu ya Nairobi ambayo imechukua miaka miwili sasa.

